History and Government Form 2 KLB
KSh711.00 Original price was: KSh711.00.KSh640.00Current price is: KSh640.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Living the Promise CRE Form 2 by Alice Gunyali, Joseph, Winrose Rono, Pamela owiti
KSh567.00Original price was: KSh567.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartLiving the Promise is a unique Christian religious Education course specially written using the new syllabus for secondary schools.the topics are sequentially ordered and taught through an imaginative mode beginning with topic discussion,content presentation,a short summary and review questions
ISBN: 9789966496591
-
Rated 0 out of 5
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 2 by Mwalimu Kipande
KSh428.00Original price was: KSh428.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 2 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 2. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630308
-
Rated 0 out of 5
Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 2
KSh761.00Original price was: KSh761.00.KSh685.00Current price is: KSh685.00.Add to cartHili ni toleo la nne la Kiswahili kwa Kidato cha Pili, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha pili katika mfululizo wa vitabu vinne vyaKiswahili kwa shule za upili.
Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya Kidato cha Tatu.
ISBN: 9789966448477
-
Rated 0 out of 5
Principles of Chemistry Form 2 by Muchiri
KSh644.00Original price was: KSh644.00.KSh580.00Current price is: KSh580.00.Add to cartThis book entirely covers all the topics in form 2 chemistry of the new secondary school syllabus. The text is carefully structured with a lot of emphasis on consistency. It is written in a clear and straightforward language that the average secondary school student can easily understand. A lot of experiments have been included to enhance student participation in the learning process. The book is illustrated with very clear diagrams making it visually appealing. At the end of every chapter are well thought out examination-type revision questions.
ISBN: 9789914993165
-
Rated 0 out of 5
Chemchemi za Kiswahili Kidato cha 2 by Longhorn
KSh838.00Original price was: KSh838.00.KSh755.00Current price is: KSh755.00.
Reviews
There are no reviews yet.