History and Government Form 2 KLB
KSh711.00 Original price was: KSh711.00.KSh640.00Current price is: KSh640.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Principles of Chemistry Form 2 by Muchiri
KSh644.00Original price was: KSh644.00.KSh580.00Current price is: KSh580.00.Add to cartThis book entirely covers all the topics in form 2 chemistry of the new secondary school syllabus. The text is carefully structured with a lot of emphasis on consistency. It is written in a clear and straightforward language that the average secondary school student can easily understand. A lot of experiments have been included to enhance student participation in the learning process. The book is illustrated with very clear diagrams making it visually appealing. At the end of every chapter are well thought out examination-type revision questions.
ISBN: 9789914993165
-
Rated 0 out of 5
Secondary Christian Religious Education 2nd Edition Students’book two
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00. -
Rated 0 out of 5
Secondary Mathematics Form 2 KLB by Abuko
KSh750.00Original price was: KSh750.00.KSh672.00Current price is: KSh672.00. -
Rated 0 out of 5
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 2 by Mwalimu Kipande
KSh428.00Original price was: KSh428.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 2 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 2. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630308
-
Rated 0 out of 5
Chemchemi za Kiswahili Kidato cha 2 by Longhorn
KSh838.00Original price was: KSh838.00.KSh755.00Current price is: KSh755.00.
Reviews
There are no reviews yet.