Sale
SCHOOLMALL WEB - 2025-10-01T115524.597

EAEP Akili pevu Kiswahili Angaza Mwalimu GD5 (Appr)

Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 5 ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Kiumilisi. Mwongozo huu unafafanua yaliyomo katika Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5. Mwongozo huu unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Mwongozo huu unajumuisha:
• Utangulizi unaofafanua kwa kina vipengele muhimu vya mtalaa wa umilisi.
• Kielelezo cha maazimio ya kazi pamoja na andalio la somo kwa kutumia mtindo uliopendekezwa na KICD.
• Mapendekezo ya jinsi ya kushughulikia wanafunzi wenye mahitaji ya kipekeedarasani.
• Utangulizi kwa kila mada. Kabla ya vipindi vyenyewe, mwalimu anaonyeshwa matokeo tarajiwa maalum ya kila mada; umilisi wa kimsingi unaokuzwa; uhusiano wa mada na masuala mtambuko, maadili na masomo mengine; mapendekezo ya shughuli za huduma za kijamii zinazochangia ujifunzaji; nyenzo za kufundishia na mbinu za kutathmini wanafunzi.
• Mwongozo wa kutekeleza kila shughuli iliyo kwenye kitabu cha Mwanafunzi hatua kwa hatua.
• Majibu kamili ya mazoezi pamoja na maelekezo kwa mwalimu kuhusiana na shughuli teule
• Viwango vya mwalimu kuzingatia anapowatathmini wanafunzi wake. Mwongozo huu umeandikwa kwa utaalamu na waandishi wenye uzoefu mwingi.

0 customer reviews

Original price was: KSh 633.00.Current price is: KSh 515.00.

Compare
Category:
EAEP Akili pevu Kiswahili Angaza Mwalimu GD5 (Appr)
Original price was: KSh 633.00.Current price is: KSh 515.00.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “EAEP Akili pevu Kiswahili Angaza Mwalimu GD5 (Appr)”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Let's chat

Your Cart

1
KSh 200.00

Select at least 2 products
to compare

Your Cart

1
Chura na Mjusi

Chura na Mjusi

Quantity
KSh 200.00