AKILI PEVU KISWAHILI ANGAZA GRADE 2 EAEP
EAEP Akili Pevu Kiswahili Angaza Kitabu cha Mwanafunzi Grade 2 ni kitabu kilichoandikwa kwa ajili ya wanafunzi wa Gredi ya 2 chini ya mtaala wa Competency-Based Curriculum (CBC) nchini Kenya.
KSh 700.00 Original price was: KSh 700.00.KSh 570.00Current price is: KSh 570.00.

Kimeandikwa na Shabaan Otieno na Mziwanda Banda, na kimeidhinishwa na Kenya Institute of Curriculum Development (KICD)
Vipengele Muhimu vya Kitabu
-
Mtindo wa Kujifunza kwa Mwanafunzi: Kitabu hiki kinamuwezesha mwanafunzi kujifunza kwa njia ya kushirikiana, ambapo mwalimu anakuwa mwelekezi badala ya mtoaji wa maarifa pekee.
-
Shughuli za Kijamii: Wanafunzi wanahimizwa kushiriki katika shughuli mbalimbali kwa makundi au wawili wawili, wakijadili picha, hali au matukio wanayoyafahamu.
-
Stadi za Kufikiri: Kitabu kinawasaidia wanafunzi kukuza stadi za kufikiri kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha, kujenga na kuhakiki.Lugha Nyepesi: Lugha iliyotumika ni rahisi kuelewa, isiyo na maneno magumu au misamiati ya kubabaisha, hivyo kumrahisishia mwanafunzi kuelewa maudhui.

There are no reviews yet.