Queenex English Activities Grade 5 (Approved) by AGOLA
KSh666.00 Original price was: KSh666.00.KSh600.00Current price is: KSh600.00.
ISBN: 9780195749106
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by WANDERA
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano.
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha.
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji.
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani.
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.ISBN: 9789966656704
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Mathematics Learner’s Grade 5 (Approved) by MWANGI
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartKLB Visionary Mathematics for Grade 5 Learner’s Book is designed to help the learners acquire computational skills at this level. The book contains numerous activities that enable the learner to develop numeracy skills without undue difficulty.
• This book is developed in line with the requirements of the Competency-Based Curriculum and subject design.
• The content is presented in concise language appropriate to the level of the learner.
• The style is simple, making the book highly readable and the concepts easy to understand.
• The book contains full-colour illustrations designed to hold the attention and interest of the learners.
• The learner’s book has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations.
• Every lesson draws from day-to-day occurrences which form the basis for lesson introduction.
• The book has numerous practical activities and examples that enable the learner to learn on their own with minimum input from the teacher.ISBN: 9789966656582
-
Rated 0 out of 5
Kurunzi ya Kiswahili Grade 5 Mwanafunzi (Approved) by A. Matei, J. Mwamburi, F. Wangome, F. Atulo
KSh639.00Original price was: KSh639.00.KSh575.00Current price is: KSh575.00.Add to cartKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtalaa huu unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
Kitabu hiki
• Kimeshughulikia mada kwa njia inayomwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
• Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali. Mada hizi zinalenga kuimarisha umilisi wa kusikiliza kwa makini, kuzungumza kwa ujasiri, kusoma kwa ufasaha na kuandika vyema.
• Kuna mazoezi na mijarabu kama vile shughuli kwa mwanafunzi, shughuli ya vikundi, kazimradi, shughuli ya nyumbani na michezo ili kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi kwenye stadi mbalimbali za lugha.
• Picha halisi na michoro ya kuvutia inamsaidia mwanafunzi katika uelewa wa mada.
• Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
• Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi ya uwekezaji, shughuli nje ya darasa, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
• Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
•Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.ISBN: 9789966572455
-
Rated 0 out of 5
Spotlight Mathematics Learner’s Book Grade 5 (Approved) by A. Njeru, R. Mwangi and B. Tinega
KSh617.00Original price was: KSh617.00.KSh555.00Current price is: KSh555.00.Add to cartSpotlight Mathematics Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to greatly benefit Grade Five learners in handling Mathematics in line with the New Curriculum. It comprehensively covers the Grade 5 Mathematics Curriculum Design as per the CompetencyBased Curriculum. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes learning stimulating and interesting.
Key features of the book:
• Covers all the Curriculum Design’s strands, sub-strands, and learning outcomes of the Grade 5 competency-based curriculum.
• Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learners.
• All mathematical concepts and competencies are addressed.
• Encourages authentic and realistic understanding of mathematical concepts by use of practical and group work activities with examples.
• Attractive full-colour illustrations are used to clarify mathematical concepts.
• Develops concepts by using the environment and real-life experiences to foster skills, attitudes, and values in learners. • Detailed guidance for use of digital media to make learning enjoyable.
• Numerous and relevant Assessment Activities have been carefully developed per sub-strand. Practice Work has been provided for each Activity to assess developed concepts for the respective learning outcome. Revision Activity is provided at the end of each sub-strand for formative assessment.
• Learner-centred approaches, discovery-based, and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values, and Pertinent Contemporary Issues (PCls).
• A Teacher’s Guide is available for this title.ISBN: 9789966572431
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Christian Religious Education Learner’s Grade 5 (Approved) by MWAURA
KSh488.00Original price was: KSh488.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartChristian Religious Education is a learning area aimed at instilling in the learner moral and spiritual values to enable him or her live a morally upright life and fit well in society. KLB Visionary Christian Religious Education Grade 5 Learner’s Book, therefore:
• Has been developed in line with the requirements of Grade 5 CRE Competence-Based Curriculum Design.
• The experiences have been developed in line with the thematic integrated approach that is recommended for children at this level.
• The book is generously illustrated to enliven the content and the text follows the design
closely. The book has employed a child-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations in line with the Life Approach Method of teaching Christian Religious Education.
• It has used short texts in simple language with familiar situations created to help understand more difficult concepts.
• Gender equitable roles have been reflected so as to erase the association of certain tasks with specific gender
• The principle of inclusivity has been used by having illustrations of children with special needs involved in common activities with other children to make learners appreciate them as part of society.
• Active learning activities like discussing, singing, reading the Bible, debates, working in groups, and reciting memory verses are integrated within the lessons to make learning interesting and participatory.ISBN: 9789966656780
Reviews
There are no reviews yet.