Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1

KSh455.00

Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.

Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:

(i) Kusikiliza

(ii) Kuzungurnza

(iii) Kusoma

(iv) Kuandika

(v) Msamiati

(vi) Sarufi

ISBN: 9789966511065

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us