Let’s do Mathematics Activities grade 2 (Approved
KSh400.00 KSh360.00
Related products
-
Add to cart
Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunzo. Pia vinakura umili uliopendekezwa, maadili kufahamisha kuhusu masualaibuka.
Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi. Gredi 2. utapata :
-mada zilizopangwa Kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya
-mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika
-mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
-Jinsi ya kuwashirikisho wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikajiKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji
ISBN: 9780195746839
-
Add to cart
Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wo vitabu vya kiada kwa Gredi yo Pili. Kimeandikwo kuombotana no mtoloo mpyo. Kitobu hiki kimelenga kumwongoza mwonafunzi katika masomo yoke yo lugha ya Kiswahili kwa kutimiza moarubu yo mtolao wa kiwango husika. Ndani yoke mno mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yoo. Kimezingatia stadi zote zo kujifunza lugha, rani:
(i) Kusikiliza
(ii) Kuzungumza
(iii) Kusoma
(iv) Kuondika
(v) Msamiati(vi) Sarufi
Mwanafunzi amepewa nafasi ya kujifunza mwenyewe kutokana na picha maridhawa, hadithi, mashairi na michezo murua. Ili kuzidisha hamasisho la ujifunzaji, mwongozo maalumu umeandaliwa iii kuwapa walimu mbinu thabiti za kuuchochea ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi. Ili kutathmini kiwango cha ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi kitabu hiki kimetoamazoezi ya kutosha yatakoyowowezesho kupato:
• Umilisi wa kimsingi
• Maadili ya kimsingi
• Uwezo wa kuyashughulikia masuala mtambukaZaidi ya hayo uchochezi huo huwafahamisha namna ya kulinganisha uhusiano wa modo watiyojifunza;
- na masomo mengine
- na shughuli za huduma za kijamii zinazochangia ujifunzaji
- na shughuli nyingine zilizoratibiwa za ujifunzaji
Kitabu hiki kimeandikwa na waandishi wenye tojiriba pevu. Womekomaa kwenye stadi ya uondishi wa vitabu vya kiado.
ISBN: 9789966511089
-
Add to cart
This is the first book in the new series of Primary Mathematics written specifically for the competence-based curriculum. The coursebook is intended for use by Grade 1 learners. It prepares the learner for day to day living and number work in higher levels of schooling.
The unique strength of the book lies in the following areas:
• Adequate coverage of the new curriculum concepts and skills with a strong activity orientation.
• A variety of examples enclosed in coloured frames to promote self-study and ease of use.
• A variety of exercises that test the understanding of every concept and skill learnt.The book comes with a separate comprehensive teacher’s guide and a set of wall charts.
This book has been designed with special reference to learners with different learning abilities.ISBN: 9789966511126
-
Rated 0 out of 5
Spotlight Hygiene & Nutrition Activities Learner’s Book Grade 2
KSh594.44KSh535.00Add to cartSpotlight Hygiene and Nutrition Activities Pupil’s Book Grade 2 has been uniquely designed to greatly benefit Primary Grade 2 pupils in handling the new Hygiene and Nutrition Activities Curriculum. It comprehensively covers the Primary Grade 2 Hygiene and Nutrition Activities Curriculum Designs as per the Competence-based Curriculum introduced by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) in 2017. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes learning stimulating and interesting.
ISBN: 9879966571540 -
Add to cart
Spotlight CRE Activities Learner’s Book Grade 2 has been uniquely designed to greatly benefit Primary Two pupils in handling New Curriculum CRE Activities. It comprehensively covers Primary 2 CRE Activities Curriculum Design as per the Competency-based Curriculum introduced by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) in 2017. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes learning interesting.
SKU: 2010130000401
Reviews
There are no reviews yet.