Sale
REV-Kiswahili-Dadisi_WKB4-COVER-600x850

Kiswahili Dadisi Workbook Grade 4

0 customer reviews

Original price was: KSh 600.00.Current price is: KSh 585.00.

Compare
Category:
Kiswahili Dadisi Workbook Grade 4
Original price was: KSh 600.00.Current price is: KSh 585.00.

Kiswahili Dadisi Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika Mtaala wa Kiumilisi. Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka.

Kitabu hiki:

  • kimeandikwa kwa kufuata utaratibu uliopendekezwa kwenye mtaala.
  • kina mazoezi mengi ya kuchangamsha na kuelimisha, na ambayo yatamwezesha mwanafunzi kujenga na kupanua umilisi katika kila suala kuu.
  • kina tathmini tamati ambayo mwanafunzi anaweza kufanya ili kukadiria umilisi wa jumla kwa mada zote.

Majibu ya mazoezi katika kitabu hiki yanapatikana kwenye Msimbo wa QR ulio katika sehemu ya yaliyomo.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kiswahili Dadisi Workbook Grade 4”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Let's chat

Your Cart

2
KSh 485.00

Select at least 2 products
to compare

Your Cart

2
Zawadi Ya Ajabu

Zawadi Ya Ajabu

You Saved 24%
Quantity
KSh 250.00 KSh 190.00
Stranger in the Camp 5l by Sam Mbure

Stranger in the Camp 5l by Sam Mbure

You Saved 10%
Quantity
KSh 327.00 KSh 295.00
Payment Details
Sub Total KSh 485.00
Free shipping Free!
Shipping to Nairobi County.
Total KSh 485.00