Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00 KSh1,740.00
kamusi kuu ya kiswahili
ISBN: 9789987020980
Related products
-
Add to cart
Toleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Add to cart
The up-to-date dictionary with all the syllabus vocabulary for primary schools in Eastern and Central Africa
* Oxford 2000 — the most useful and important words to learn — marked with a key
* All the words and phrases that you need in your lessons
* Extra help with spelling, pronunciation and grammar in note boxes
* Prepare for your exams with the vocabulary you needOver 17,500 words and phrases 600 illustrations — understand and remember words
1,000 notes — get it right!
11,700 example sentences
use words correctly
Word Family and Word Building boxes — learn new words
Understand words with the opposite or same meaningISBN: 9780194420952
-
Add to cart
Kamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana.ISBN: 9780195746167
-
Add to cart
More words and more support to help you use English to study other subjectsUpper-Intermediate to Advanced
- Over 52,000 words, phrases and meanings in British and American English with curricular words highlighted
- Over 500 new words from address bar to zero-carbon
- Collocations and thesaurus boxes help you to expand your vocabulary
- 10 reference pages support your academic writing and improve your study skills
- Over 200 diagrams and illustrations help you to understand and describe scientific and technical processes
- Oxford 3000 keywords show you the most important words to learn
- Words from the Academic Word list are clearly marked
The words you need to study …Art. Biology. Business Studies. Computing. Geography, History, Literature. Mathematics, Music. Science. Sport. Travel and Tourism and much more … in English!
ISBN: 9780194406147
-
Add to cart
- Updated maps
- Recommended for both Geography and History syllabi.
- Provides updated and relevant statistical information and notes to enrich the learner’s understanding.
- Includes 25 case studies to match specific topics covered by the Geography syllabus
- Rebranded to Moran Secondary School Atlas, previously known as Macmillan Secondary School Atlas
Reviews
There are no reviews yet.